Kitengo cha kusafisha Damu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure kikiadhimisha mwaka mmoja toka kianzishwe mnamo 02/03/2022 chini ya Serikali kupitia Wizara ya Afya. ... Read More

Kitengo cha kusafisha Damu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure kikiadhimisha mwaka mmoja toka kianzishwe mnamo 02/03/2022 chini ya Serikali kupitia Wizara ya Afya. ... Read More
Katika kuelekea kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mwanamke Duniani Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure imeandaa kutoa huduma za vipimo vya magonjwa mbalimbali. Vipimo am... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure imepokwa ugeni wa Vijana wa CCM ukiongozwa na Mhe. Ngw'asi Damas Kamani Mbunge wa Viti maalum kutoka CCM. Katika ziara hiyo Viongoz... Read More
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure Dr. Bahati Msaki amekuatana na kufanya na mazungumzo na wageni kutoka Benki kuu ya Dunia wanaosaidia huduma ya afya ya mam... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza kupitia baadhi ya watumishi wa idara mbalimbali wameshiriki katika wiki ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi kwa kutoa huduma ya vipimo vya magonj... Read More
Serikali kupitia Wizara ya Afya imewajengea uelewa kuhusu Bima ya Afya kwa wote viongozi wa makundi ya Wamachinga, Wakulima, Wavuvi, Wachimba Madini, Bodaboda, Mama Lishe na Kamati ya ... Read More
Kiafya inashauriwa meno ya utotoni yanapofikia muda wa kung’oka yasitikiswe, ili kuepuka madhara mbalimbali ikiwemo kuathiri mishipa ya fahamu ya mtoto. Kimsingi jino la utotoni ambal... Read More
Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Rasilimali Bw. Daniel Machunda amejumuika na uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou toure katika siku ya Sekou toure na kuwafariji mama mjamzi... Read More
Kamati ya bunge inayoshugulikia Ukimwi, Kifua kikuu na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na Shirika la ICAP wametembelea hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure na kufanya zi... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure imefanya kambi ya madaktari bingwa iiliyodumu kwa siku tano kuanzia tarehe 05 hadi 09 mwezi desemba 2022 katika viwanja vya hospitali. Huduma... Read More