Ukaribisho

profile

Dr. Bahati P. Msaki
Mganga Mfawidhi

Karibu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza (Sekou toure) kwa huduma bora kutoka kwa madaktari wabobezi...

Read more

Huduma zetu All

  • Health education
  • Investigation and Treatment
  • Vaccination
  • Minor Surgery
  • Cervical cancer screening
  • Counselling
readmore
  • Nursing Care
  • Lab Investigation
  • Treatment of diseases
  • Counselling
  • Health education
  • Follow up plan
  • Admission in both Normal and Private
readmore

Hematoloty

  • Full blood picture, HB, Blood group and cross match

Microbiology

  • Sputum culture
  • Blood culture
  • Stool culture
  • Urine Culture
  • CSF culture
  • Sputum for AFB
  • Gram stain
  • Pus culture
  • India ink
  • Pandy’s
  • Body fluid cultur...
readmore


  • Utunzaji na utoaji wa vifaa/tiba vya hospitali
  • Utoaji kwa dawa kwa wagonjwa wa nje na ndani katika vitengo vifuatavyo:-
  • Bima ya Afya
  • Wagonjwa wa Ukimwi
  • Wagonjwa wa madawa ya kulevya
  • Wagonjwa wenye kifua kikuu na ukimwi

readmore

Matukio All

Muda wa kutembelea wagonjwa

JUMATATU-IJUMAA

  • From 09:00 to 10:30
  • From 15:30 to 17:00
  • From 19:30 to 21:00

JUMAMOSI-JUMAPILI

  • From 09:00 to 10:30
  • From 15:30 to 17:00
  • From 19:30 to 21:00

Kliniki ya Leo All

Elimu ya Afya Kwa Jamii All

FAHAMU KUHUSU HOMA YA EBOLA

FAHAMU KUHUSU HOMA YA EBOLA

Ugonjwa wa Homa ya Ebola ni ugonjwa wa hatari unaosababishwa na virusi vya ebola. Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa ya milipuko yajulikanayo ka...

read more
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI

Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa Kisukari


Kisukari jina la kitaalamu hujulikana kama diabetes mellitus ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya sukari katika damu.

Ugonjwa wa kisukari ni mlolongo wa matatizo mwilini ya mda mrefu na mfupi ku...

read more
FAHAMU KUHUSU KIFUA KIKUU

Ufahamu Ugonjwa wa Kifua Kikuu (Tuberculosis)

Ugonjwa wa kifua kikuu ni kati ya magonjwa matatu yanayotokea sana kwa watu masikini duniani (Disease of poverty). Magonjwa mengine katika jamii ya disease of poverty ni malaria na Ukimwi (AIDS). Ugonjwa wa...

read more
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA INI

UGONJWA WA HOMA YA INI (HEPATITIS) : MAMBO MUHIMU YA KUFAHAMU

Ini ni kiungo muhimu sana ndani ya miili yetu, hufanya kazi zaidi ya 500 ; moja ya kazi ni kuchuja na kuondoa sumu kutoka kwenye damu.

Kutokana na sababu mbalimbali kam...

read more
FAHAMU KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Ijue Saratani Ya Shingo Ya Kizazi

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI  NI NINI?

Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko katika shingo ya kizazi. Mabadiliko haya hupelekea chembe chem...

read more
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA CORONA (COVID-19)

Hiki ni kirusi cha aina gani?

Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Kwa binadamu, jamii kadhaa za virusi vya Corona vinafahamika kusababisha maambukizi kwenye njia ya hewa na mfumo wa upumuaji.  Maradhi yaliy...

read more

Ministry Content All

Matangazo All